Monday, April 22, 2013

Flag this message UJIO WA WADAU WA MAENDELEO MKOANI MWANZA


Na:  Atley  Kuni - Afisa Habari Mkoa wa Mwanza.

Leo kubwa katika Mkoa wa Mwanza tumepokea Ugeni wa Wadau wa mashirika ya Maendeleo kutoka (DPG), Ambalo linajumuisha balozi zote zilizopo hapa nchini, Zikiwapo Jumuiya ya Ulaya,Wakuu wa Mashirika ya Ufadhili, wa Maendeleo kama NDP, WB, AFDB, JICA UNICEF.

Ujumbe huu umefika Mkoani hapa na Kuonana na Vingozi wa Mkoa wa Mwanza, akiwapo Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na watendaji wengine wa Mkoa na Halmashauri za Wilaya na Wataalam wengine wa taasisi za umma zilizopo katika  Mkoa huu.

 Katika ziara yao hiyo, wamepata kusikia Speach kuhusu Masuala Mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa huu. Lengo la Ziara Hiyo ilikuwa Kutembelea na kuona jinsi Miradi mbalimbali ya maendeleo inavyo tekelezwa, hivyo wametembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo katika Mkoa huu ikiwapo,  Mradi wa barabara za Mawe, unao tekelezwa katika Mkoa huu hususan katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

 Hata hivyo kwa mujibu wa ratiba yao siku tarehe 23/4/2013, watafanya ziara katika Mkoa wa Geita.

Kuhusu mambo mengine Mwanza ni salama, Mvua zipo za wastani, na jua linawaka kwa Mbali.






Flag this message UJIO WA WADAU WA MAENDELEO MKOANI MWANZA


Na:  Atley  Kuni - Afisa Habari Mkoa wa Mwanza.

Leo kubwa katika Mkoa wa Mwanza tumepokea Ugeni wa Wadau wa mashirika ya Maendeleo kutoka (DPG), Ambalo linajumuisha balozi zote zilizopo hapa nchini, Zikiwapo Jumuiya ya Ulaya,Wakuu wa Mashirika ya Ufadhili, wa Maendeleo kama NDP, WB, AFDB, JICA UNICEF.

Ujumbe huu umefika Mkoani hapa na Kuonana na Vingozi wa Mkoa wa Mwanza, akiwapo Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na watendaji wengine wa Mkoa na Halmashauri za Wilaya na Wataalam wengine wa taasisi za umma zilizopo katika  Mkoa huu.

 Katika ziara yao hiyo, wamepata kusikia Speach kuhusu Masuala Mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa huu. Lengo la Ziara Hiyo ilikuwa Kutembelea na kuona jinsi Miradi mbalimbali ya maendeleo inavyo tekelezwa, hivyo wametembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo katika Mkoa huu ikiwapo,  Mradi wa barabara za Mawe, unao tekelezwa katika Mkoa huu hususan katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

 Hata hivyo kwa mujibu wa ratiba yao siku tarehe 23/4/2013, watafanya ziara katika Mkoa wa Geita.

Kuhusu mambo mengine Mwanza ni salama, Mvua zipo za wastani, na jua linawaka kwa Mbali.






UJIO WA WADAU WA MAENDELEO MKOANI MWANZA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Dorothy Mwanyika akitoa neno la utambukisho kwa ugeni wa Wadau wa mashirika ya Maendeleo kutoka (DPG)


Mtaalamu kutoka Wizara ya Fedha akifafanua jambo

Barabara ya Mawe ya Igogo kama inavyoonekana Jijini Mwanza