Saturday, October 24, 2015

KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA MKOANI IRINGA


Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mhe. Amina Masenza



"Jeshi la Polisi limejipanga vizuri kuwalinda wananchi wote, hivyo, rai yangu kwa Wananchi ni kuwa jitokezeni kwa wingi siku ya kupiga kura mapema na baada ya kupiga kura rudini kwenye maeneo yenu kuendelea na shughuli nyingine. Wananchi wasibaki kwenye vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura'