Thursday, November 28, 2013

REVINA PIUS AHITIMU SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA RUCO


                            Maandamano ya kitaaluma kuelekea katika uwanja wa Mahafali

                      Revina Pius akiwa tayari kwa kuhudhurishwa na Mkuu wa Chuo kikuu cha Ruaha

                   Wahitimu wa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara tarari kuhudhurishwa

                        Revina Pius akipokea baraka baada ya kuvalishwa KOFIA

                                             Sehemu ya WAZAMIVU katika Sheria

                  Zamakhishary Yassy akimvika ua Revina Pius baada ya kutunukiwa Shahada.

            Revina Pius akiwa na Alice mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika chuo kikuu cha Iringa

            Manyus Chaula, Mhasibu katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa akimpongeza Revina Pius

                                REVINA PIUS nje ya jengo jipya la Maktaba ya RUCO

                            REVINA PIUS nje ya jengo jipya la Maktaba ya RUCO

                                 Mchungaji Mwaikali akifurahia jambo na Revina

                                                Zamakhishary na Revina katika pozi

                                                     Revina na Edwin katika pozi


                                         Edwin na shemeji yake pamoja na Harrison

                                                 Harrison akimvalisha ua Revina

                            Zamakhisharyakimvika KOFIS YA SHAHADA Revina


                                                               Revina na Gondwe


 Revina Pius akivalishwa KOFIA na Mkuu wa Chuo cha Ruaha Mhashamu Baba Askofu  Tarcisius Ngalalekumtwa katika Mahafali ya 6 ya Chuo Kikuu cha Ruaha