Wednesday, September 7, 2011

NDOA YA SAMWEL S. NYAGAWA NA CATHERINE W. MDEMU ILIVYOACHA HISHORIA

Nae Catherine W. Mdemu akasaini cheti cha ndoa yake.  

Hapa Samwel S. Nyagawa anaondoa ule ubishi wa kama umeoa tuoneshe cheti cha ndoa kwa kusaini cheti cha ndoa yake huku Catherine akihakiki saini inayotelewa..sasa watu wanajiuliza kwani alishaiona saini ya Sam?? 

Catherine W. Mdemu nae akamvisha PETE ya Ndoa Samwel S. Nyagawa. Sasa hebu mwangalie Catherine hapa...!! 

 Wakati wa Samwel S. Nyagawa kumvisha PETE ya Ndoa Catherine W. Mdemu ukawadia na tendo hilo likafanyika kwa ustadi mkubwa yaani kama wanataniana vile!

Sikiliza maneno hayo ya maharusi  

Unaweza kudhani Sam anasinzia eeh! hata mie nilidhani hivyo

Huku akijiamini Samwel S. Nyagawa nae aliutamkia Umma kuwa anamuoa Catherine W. Mdemu

Ulifika wakati wa Catherine W. Mdemu kuutamkia Umma kuwa anakubali kuolewa na Samwel. S. Nyagawa 

Tabasamu la Samwel S. Nyagawa asikwambie mtu, hilo pozi la Catherine W. Mdemu usilihoji

Maharusi Samwel S. Nyagawa na Catherine W. Mdemu (katikati) wakiwa na wapambe wao (pembeni)

Baba Askofu Jonas Mkane akiongoza sala ya Misa ya Ndoa ya Bw. Samwel S. Nyagawa na Bi. Catherine W. Mdemu  

 Maharusi Samwel s. Nyagawa na Catherine W. Mdemu wakiwa kanisani 

Maharusi Samwel s. Nyagawa na Catherine W. Mdemu wakiingia katika nyumba ya Ibada 

Mama mzazi wa Samwel Nyagawa, Mama Prof. Nyagawa (kushoto) na mama ambaye jina lake halikujulikana kwa mara moja wakiwa kanisani 


Maharusi Samwel S. Nyagawa na Mpambe wake wakiingia Kanisani

Maharusi Samwel S. Nyagawa na mpambe wake wakiingia Kanisani

No comments:

Post a Comment