Thursday, November 17, 2011

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU

 Vijana wa JKT Mafinga wakiwa katika shughuli zakijamii


 Wanafahamika kama wazee wa White hakuna kuchafuka


 Wanafahamika kama wazee wa White hakuna kuchafuka




 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi y Mkuu wa Mkoa wa Iringa

















 Viongozi waandamizi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa akifuatilia kwa makini yanayojiri katika uwanja wa Samora siku ya pili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru

 watumishi wakisikiliza Hotuba ya Katibu Tawala Mkoa wa Iringa katika Uwanja wa Samora siku ya pili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa Mkoa wa Iringa


 watumishi wakisikiliza Hotuba ya Katibu Tawala Mkoa wa Iringa katika Uwanja wa Samora siku ya pili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa Mkoa wa Iringa


 watumishi wakisikiliza Hotuba ya Katibu Tawala Mkoa wa Iringa katika Uwanja wa Samora siku ya pili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwa Mkoa wa Iringa



 Kundi la sanaa lijulikanalo kama Makhrikhri kutoka Makete

 Kundi la sanaa lijulikanalo kama Makhrikhri kutoka Makete

 
Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Utawala, Bw. Barnabas Ndunguru akipata maelezo kutoka banda la maonesho la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa 

 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka akikagua madanda ya maonesho


 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka akisaini kitabu cha wageni katika kanda la CCM 

 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka akipata kipimo katika banda la Hospitali ya Mkoa katika siku ya pili ya maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru

 Viongozi ngazi ya Mkoa wakijiandaa kuupokea Mwenge wa Uhuru wilayani Wanging'ombe

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dk. Christine Ishengoma akikumbatiana na Mkimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa Bi. Mtumwa Khalfan

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akijiandaa kumkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Iringa 


Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma akipokea Mwenge wa Uhuru