Wednesday, December 9, 2015

SIKU YA UHURU WA TANZANIA BARA ILIVYOADHIMISHWA MKOANI IRINGA

Wananchi wakifanya usafi katika kijiji cha Ruaha Mbuyuni A

Mkuu wa Mkoa wa Irirnga, Mhe. Amina Masenza akiwaongoza maafisa waandamizi kuelekea eneo la kufanya usafi

Zoezi la usafi likiendelea

Zoezi la usafi likiendelea

Mkuu wa Mkoa akichoma taka

Upande wa pili Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi Wamoja Ayubu wanne (kulia) akiongoza vikosi vya usalama kuelekea eneo la kusanya usafi

Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu wakwanza mbele (kulia)

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi (katikati) katika zoezi la usafi

Zoezini

Wananchi baada ya kuhitimisha zoezi la usafi

Baada ya zoezi la usafi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza

Wananchi wakisikiliza nasaha za Mkuu wa Mkoa

Mkuu wa Mkoa akiongea na wananchi

Wadau wa sekta ya usafi wakifuatilia nasaha za Mkuu wa Mkoa

Mdau wa siku ya Uhuru wa Tanzania bibi Scolastica

Wananchi wakifuatilia nasaha za Mkuu wa Mkoa

Wananchi wakisikiliza nasaha za Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Mkurugenzi Mtendaji (W) Kilolo, Rukia Muwango akijibu hoja za wananchi

Shaban Lubathillah Afisa Ushirika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa akifanya usafi katika Uso wa ofisi hiyo