Thursday, April 11, 2013

TAFRIJA YA KUMUAGA KATIBU TAWALA MKOA WA IRINGA MSTAAFU

 RAS mstaafu Mkoa wa Iringa Gertrude Mpaka (kushoto) akimlisha keki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Pudenciana Kisaka.

RAS mstaafu Gertrude Mpaka (kushoto) Mkoa wa Iringa, akimlisha keki Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi,Edna Kaduma.

 RAS mstaafu Mkoa wa Iringa Gertrude Mpaka (kushoto) akimlisha keki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Mohamed Gwalima


RAS Mkoa wa Iringa mstaafu Gertrude Mpaka (kushoto) akimlisha keki Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa, Theresia Mahongo.


RAS mstaafu Gertrude Mpaka (kushoto) Mkoa wa Iringa, akimlisha keki Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Joseph Muhumba



RAS mstaafu Gertrude Mpaka (kushoto) Mkoa wa Iringa, akimlisha keki Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Stephen Mhapa

RAS mstaafu Gertrude Mpaka (kulia) Mkoa wa Iringa, akimlisha keki Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Amani Mwamwindi