Thursday, November 28, 2013

REVINA PIUS AHITIMU SHAHADA YA UZAMILI KATIKA UONGOZI WA BIASHARA RUCO


                            Maandamano ya kitaaluma kuelekea katika uwanja wa Mahafali

                      Revina Pius akiwa tayari kwa kuhudhurishwa na Mkuu wa Chuo kikuu cha Ruaha

                   Wahitimu wa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara tarari kuhudhurishwa

                        Revina Pius akipokea baraka baada ya kuvalishwa KOFIA

                                             Sehemu ya WAZAMIVU katika Sheria

                  Zamakhishary Yassy akimvika ua Revina Pius baada ya kutunukiwa Shahada.

            Revina Pius akiwa na Alice mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika chuo kikuu cha Iringa

            Manyus Chaula, Mhasibu katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa akimpongeza Revina Pius

                                REVINA PIUS nje ya jengo jipya la Maktaba ya RUCO

                            REVINA PIUS nje ya jengo jipya la Maktaba ya RUCO

                                 Mchungaji Mwaikali akifurahia jambo na Revina

                                                Zamakhishary na Revina katika pozi

                                                     Revina na Edwin katika pozi


                                         Edwin na shemeji yake pamoja na Harrison

                                                 Harrison akimvalisha ua Revina

                            Zamakhisharyakimvika KOFIS YA SHAHADA Revina


                                                               Revina na Gondwe


 Revina Pius akivalishwa KOFIA na Mkuu wa Chuo cha Ruaha Mhashamu Baba Askofu  Tarcisius Ngalalekumtwa katika Mahafali ya 6 ya Chuo Kikuu cha Ruaha












Wednesday, November 27, 2013

DUNIA AFARIKI DUNIA



 Mhariri Mwandamizi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Dunia Mzobora, amefariki dunia.
Mzobora (49) alifariki dunia ghafla jana saa 12 asubuhi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), alikokuwa amepelekwa kwa matibabu zaidi akitokea kwenye Hospitali ya Aga Khan, pia ya Dar es Salaam.

 
                                   Marehemu Dunia Mzobora
 
 Mussa, mdogo wa marehemu, alisema jana kuwa Mzobora alianza kujisikia vibaya juzi usiku akiwa nyumbani kwake, Tabata Mawenzi, na kupelekwa Aga Khan lakini hali ilizidi kuwa mbaya na ndipo alipopelekwa Muhimbili. Alifariki muda mfupi baadaye wakati madaktari wakiwa katika harakati za kuokoa maisha yake.

Mzobora ambaye hadi anafariki dunia alikuwa Naibu Msanifu Mkuu wa Uhuru, alifanya kazi hadi kumalizika kwa gazeti la Uhuru toleo la jana, akikaimu nafasi ya msanifu mkuu, akiwa buheri wa afya.

Taarifa zilizopatikana jana kutoka kwa ndugu wa familia zilisema maziko ya marehemu yatafanyika leo jijini Dar es Salaam.

Mzobora ambaye alizaliwa Aprili 6, 1964 Mwandiga mkoani Kigoma, alijiunga na Uhuru Publications Limited mwaka 1989 akiwa mwandishi wa habari mwanafunzi, baada ya kumaliza masomo ya ualimu ngazi ya cheti kutoka chuo cha Kasulu, mkoani Kigoma.

Kutokana na uwezo wake na kujituma kazini, mwaka uliofuata alithibitishwa kazini na kupandishwa cheo kuwa mwandishi kamili wa habari.

Mwaka 1992, alipandishwa cheo na kuwa msanifu kurasa wa Mzalendo na Burudani chini ya Msanifu Mkuu wa magazeti hayo kwa wakati huo, Hamisi Mkwinda, kabla ya kupandishwa na kuwa mwandishi wa habari daraja la pili mwaka 1994.

Mwaka 1995 alijiunga na kilichokuwa Chuo cha Uandishi wa habari cha Nyegezi (sasa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine), Mwanza na kuhitimu stashahada ya juu ya uandishi wa habari mwaka 1998.

Baada ya kurejea kazini, alipandishwa vyeo ngazi mbalimbali kuanzia mwandishi mwandamizi daraja la pili na hadi kufariki dunia kwake alikuwa Mhariri Daraja la Pili.
Miongoni mwa nyadhifa alizoshika ni pamoja na Kaimu Msanifu Mkuu wa Uhuru, Kaimu Mhariri wa Mzalendo na Kaimu Mhariri wa Makala.

Kutokana na kiu yake ya kupenda elimu, mwaka 2006 Mzobora alijiunga tena na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Mwanza kwa masomo ya shahada ya uzamili katika Mawasiliano ya Umma na uandishi wa habari.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema paponi. Amina.


Tuesday, November 26, 2013

RUCO YATOA WAWILI WA SHAHADA YA UZAMIVU KATIKA SHERIA, NI MARA YA KWANZA TANGU CHUO KIKUU CHA MT AUGUSTINO KIANZISHWE





KWA mara ya kwanza katika historia ya miaka 15 tangu kianzishwe, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) kimehudhurisha wahitimu wawili wa Shahada ya Uzamivu katika sheria (Ph.D).





Wahitimu hao, mtanzania Mandopi Kevin na mnaigeria Gbadebo Anthony Olagunju walitunukiwa shahada hizo juzi katika mahafali ya sita ya Chuo Kikuu Kishiriki cha SAUT cha Ruaha (Ruco), mjini Iringa.

Pamoja na madaktari hao wa sheria, MKUU wa Chuo Kikuu cha SAUT, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa aliwatunuku vyeti wahitimu wengine 1,777 wa astashahada, stashahada, shahada na shahada ya uzamili katika fani mbalimbali zinazotolewa Ruco.

Fani hizo ni katika sayansi za afya, ufundi sanifu madawa, sayansi ya kompyuta, sheria, biashara na utawala, sayansi ya ukutubi, elimu ya jamii na ualimu na sayansi ya lugha.

Kabla ya kuwatunuku vyeti hivyo, Askofu Ngalalekumtwa alisema “ulimwengu wa asa katika fani ya elimu ni wa ushindani mkubwa; haisaidii kulalamika kwamba elimu itolewayo katika vyuo vyetu ni duni wakati sisi wadau wa elimu hatufanyi juhudi yoyote katika kujikwamua kutoka katika hali hiyo.”

Alisema lipo tatizo la wahitimu wa vyuo vikuu kudhani kuwa elimu wanayopata ni kamilifu kumbe ni tone dogo katika bahari ya elimu na ni mwanzo wa njia ndefu ya kupambana na mazingira yanayowazunguka.

“napenda kuwaasa wahitimu waibweteke na kuridhika na kiwango cha alimu waliyopata; dunia ya sasa ni ya ushindani mkubwa. Mjenge dhana ya kutaka kujiendeleza zaidi kwani elimu haina mwisho,” alisema.

Kwa upande wake Mkuu wa chuo cha Ruco, Dk Cephas Mgimwa alisema kutokana na mafanikio makubwa kinayozidi kuyapata, chuo chao kiko katika mchakato wa kuwa chuo kinachojitegemea.

“Tunataka kuwa chuo kikuu kinachojitegemea nje ya vyuo vya SAUT, naomba niwahakikishie mababa Askofu na wadau wengine wote kwamba tumejidhatiti na tupo tayari kujitegemea,” alisema.

Alisema adidu za rejea katika kufikia azma hiyo zinatekelezwa na kwamba hivisasa wanasubiri mamlaka inayohusika (TCU) iwakague pamoja na kupitia machapisho ya sera za chuo, kumbukumbu  mbalimbali na miundombinu.

Alisema chuo hicho na vingine vinavomilikiwa na makanisa havipendelewi bali vinapendwa kwasababu vinafanya kazi kwa faida na maendeleo ya Taifa.

Habari hii kwa hisani ya BONGO LEAKS

=30=



Saturday, November 16, 2013

World Cup qualifiers: Cristiano Ronaldo saves Portugal, France facing exit



At Lisbon's Stadium of Light, Ronaldo edged Ibrahimovic in the battle of potential World Cup superstars, scoring a late diving header which gave Portugal a 1-0 win over Sweden.

Paris:  France were facing World Cup elimination on Friday after slumping to a 2-0 play-off first-leg defeat in Ukraine while Cristiano Ronaldo kept Portugal's hopes alive with the only goal in a 1-0 win over Sweden.

                     Zlatan Ibrahimovic v Christian Ronald
Former European champions Greece were left sleeping comfortably on their hopes of making the finals in Brazil after beating Romania 3-1.

Meanwhile, Iceland's dream of becoming the smallest nation ever to qualify for the World Cup was left on a knife-edge after a 0-0 draw at home with Croatia.

France have it all to do in the second leg in Paris on Tuesday after defeat in Kiev meant they face missing out on the World Cup for the first time in two decades.

Roman Zozulia gave Ukraine a deserved lead in the 61st minute at the 70,000-capacity Olympic Stadium in Kiev and Andriy Yarmolenko made it 2-0 from the penalty spot with eight minutes left after Laurent Koscielny had brought down Zozulia inside the area.

Arsenal defender Koscielny was then sent off following a clash with Oleksandr Kucher, before the Ukrainian defender was also dismissed as tensions between the two teams spilled over.

Ukraine were worthy of their win and, having denied France an away goal, can now consider themselves strong favourites to go through to their second World Cup finals.

"We're not beaten yet, there's always hope," said France goalkeeper and captain Hugo Lloris.

"We know we have enough quality to turn it around."

Ukraine coach Mikhail Fomenko said his only regret was not getting a third goal.

"At half-time, I asked my players to step things up a gear and they responded," he said.

"Our first goal was the crucial moment. It would have been better if we had managed to win 3-0 and we had chances to get a third goal."

At Lisbon's Stadium of Light, Cristiano Ronaldo edged Zlatan Ibrahimovic in the battle of potential World Cup superstars, scoring a late diving header which gave Portugal a 1-0 win over Sweden.

The Real Madrid star headed past Sweden goalkeeper Andreas Isaksson in the 82nd minute from six yards out after a fine left-wing cross from Miguel Veloso.

Ronaldo, who now has 29 goals for club and country this season, almost made it 2-0 moments later when another header thundered back off the crossbar.

But the Portuguese had to settle for a one-goal edge ahead of the second leg in Stockholm, where star striker Ibrahimovic will be key to helping Sweden to the finals in Brazil next year after a low-key performance on Friday.

"It was an important goal and it gave us victory," said Ronaldo.

"We could have scored one or two more goals but this advantage gives us confidence for the second leg.

"Nothing is settled yet. It's 50-50. I cannot promise that we will qualify but I will do all I can to achieve it."

In Piraeus, two goals by Olympiakos striker Kostas Mitroglou lifted Greece to a 3-1 win over Romania.

A packed crowd of 32,000 at the Karaiskakis Stadium saw coach Fernando Santos's team enjoy a convincing victory which provided a comfortable cushion for the return match on Tuesday.

Mitroglou scored one goal in each half and PAOK forward Dimitris Salpingidis added another in the first half.

The lone goal for Romania was scored by Genclerbirligi forward Bogdan Stancu in the first half.

"Nothing has been decided yet. We need to keep a clear mind," said Santos.

"We're halfway there. The players worked a lot and managed to seize the opportunities we had."

In Reykjavik, Iceland were reduced to 10 men for the final 40 minutes but managed to thwart relentless waves of Croatian attacks.

Home defender Olafur Skulason was red-carded in the 51st minute after bringing down Ivan Perisic.

"Croatia were the best of the two teams and created the best chances," said coach Niko Kovac, in charge of the national side for the first time.

Iceland coach Lars Lagerback criticised the officials.

"The players did a good job but the referee did not have a good day," said the Swede.
@NDTVsports.com