Saturday, April 13, 2013

HUDUMA YA KAMBI CHINI YA MRADI WA TUUNGANISHE MIKONO PAMOJA (JHI)

 Wananchi wa Kata ya Boma akiwa wanajiandikisha kabla ya kuanza kupata huduma za afya katika kituo cha Ihongole kwenye Kambi ya kituo cha aga Khan chini ya Mradi wa Tuunganishe Mikono Pamoja (JHI)

Meneja wa Kituo cha afya Aga Khan Veronica James (kushoto) na Mratibu wa mradi wa JHI Narmin Adatia (kulia) wakiweka mikakati ya kuboresha huduma katika kambi 

 Muuguzi akimhudumia mgonjwa katika kituo cha afya Ihongole

Wananchi wakisubiri huduma ya tiba katika kituo cha afya cha Ihongole 

Morris mwingila akipata huduma ya kipimo katika Kituo cha afya cha Ihongole