Monday, December 19, 2011

YALIYOJILI MIAKA 50 YA UHURU KWA MKOA WA IRINGA KITAIFA

































 Baadhi ya watendaji katika Banda la Mkoa wa Iringa


 Baadhi ya watendaji katika Banda la Mkoa wa Iringa



 Mandari ya Banda la Mkoa wa Iringa kwa nje



 Sidhani kama kuna kitu ambacho kingeweza kuwatoa viongozi hawa wa Mkoa wa Iringa katika banda hili la Mkoa wa Kagera kabla ya kutimiza hadhima yao mahususi. 


 Miaka 50 ya Uhuru na Tafakari ya hali ya juu


 ...Hii inakutosha Mhe. RC ni maneno ya mjasiriamali 'Khadija Design' akimwambia Mhe. Mkuu wa Mkoa hayupo pichani.


 Mkuu wa Wilaya ya Makete, Mhe. Zainab Kwikwega akisaini kitabu cha wageni katika Banda la Mkoa wa Iringa katika viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara


 Tarehe 01. Disemba, 2011 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma (Mb.) na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka (katikati) na Kiongozi mwandamizi wa Banda la Mkoa wa Iringa, Shenal Nyoni wakiweka mikakati ya mapokezi ya viongozi wa kitaifa watakaotembelea banda la Mkoa wa Iringa


 Tarehe 01. Disemba, 2011 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma (Mb.) na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka (kulia) wakifurahia jambo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara


 Tarehe 01 Disemba, 2011, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma (Mb.) akiwa ni
miongoni mwa mamia kwa maelfu ya watanzania waliojumuika katika maadhimisho ya
Miaka 50 ya Uhuru katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam

Tarehe 01 Disemba, 2011, Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka akiwa ni
miongoni mwa ma mia kwa maelfu ya watanzania waliojumuika katika maadhimisho ya
Miaka 50 ya Uhuru katika uwanja wa Uhuru Dar es Salaam



No comments:

Post a Comment