Monday, December 19, 2011

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa yapata Wakili




Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa, imepata Wakili, baada ya Mwanasheria katika Ofisi hiyo Paulos Lekamoi, kusajiliwa na kutambuliwa na Mahakama Kuu ya Tanzania.




Wakili Paulos Lekamoi akitambuliwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Bara

Fuatilia habari zaidi juu ya Paulos Lekamoi ni nani hasa??

No comments:

Post a Comment