Sunday, November 11, 2012

MATUKIO YA KUKABIDHI KIKOMBE CHA MSHINDI WA PILI WANAWAKE KUVUTA KAMBA A

 Kombe la mshindi wa pili kuvuta kamba wanawake

 Nahodha wa timu Agnes Mlula akimkabidhi kombe mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Gertrude Mpaka

 Kaimu Mwenyekiti mstaafu wa Klabu ya Shimiwi Ras Iringa Gillian Bukori akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Mkoa mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Gertrude Mpaka.





 Baadhi wa wachezaji wa timu hiyo ya kuvuta kamba wanawake




  




 Picha ya pajama baina ya wachezaji, viongozi wa Mkoa na mgeni rasmi.

Wakati wa Burudani



No comments:

Post a Comment