Monday, February 3, 2014

KIKAO KAZI CHA SIKU 7 CHAANZA JIJINI TANGA, KIKIWAHUSISHA MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO WA SERIKALI

Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangala (Mb.) wanne waliokaa kuanzia kushoto
 


Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt. Fenella Mukangala (Mb.) akifungua kikao kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali jijini Tanga

Prof. Elisante Ole Gabriel, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
 

No comments:

Post a Comment