Monday, February 3, 2014

WAMOJA AAPISHWA RASMI IKULU DAR ES SALAAM


 Rais, Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Bibi. Wamoja Ayubu Dickolangwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Iringa katika hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam 
 


 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi nyaraka za Serikali Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Iringa Bibi Wamoja Dickolangwa baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 



Rais Jakaya Kikwete (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Tawala wapya wa Mikoa saba ya Tanzania Bara, baada ya kuwaapisha Ikulu Dar es Salaam juzi. Kutoka kushoto ni Mhandisi Dkt. John Ndunguru (Kigoma), Symthies Pangisa (Rukwa), Alfred Luanda (Mtwara), Wamoja Dickolagwa (Iringa), Mhandisi Omari Chambo (Manyara), Jackson Saitabau (Njombe) na Abdallah Chikota (Lindi).
Picha zote kwa hisani ya Picha na Freddy Maro
 

No comments:

Post a Comment