Sunday, August 12, 2012

Mratibu Msaidizi wa Sensa Mkoa wa Iringa Conrad Millinga (kulia) na na Mwandishi wa Habari wa gazeti la Mwananchi, Tumaini Msowoya walipowasili katika viwanja vya Ikulu Ndogo Iringa kushiriki FUTARI iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma.

Katibu wa Mkuu wa Mkoa, Bahati Golyama akimuongozi kingozi wa dhehebu la dini ya Orthodox kuingia katika viwanja vya Ikulu Ndogo kwa ajili ya Futuru.

 Waumini wa Dini ya kiislamu waliojumuika pamoja katika swala ya Magharibi wakai wa hafla ya FUTARI iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma.

Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakishiriki kupakua FUTARI katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa.

Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakishiriki kupakua FUTARI katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa.

Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakishiriki kupakua FUTARI katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa.



Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakishiriki kupakua FUTARI katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa.

Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakishiriki kupakua FUTARI katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa.

Viongozi vijana wakipanga mikakati, Bahati Golyama, Katibu wa RC Iringa (katikati), Gasto Mwambigija Andongwisye, Afisa Utumishi (kulia) na Mathias (kushoto) katika viwanja vya Ikulu Ndogo ya Iringa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma akitoa neno la shukraki kwa waalikwa wa FUTARI.


Baadhi wa waumini walioshiri katika FUTARI hiyo. Mhe. Evarista Kalalu, DC Mufindi (kulia), Bibi. Gertrude Mpaka, RAS Iringa (wa pili kulia)



No comments:

Post a Comment