Sunday, August 12, 2012

SIKU RC ALIPOFUTURISHA IRINGA


 Baadhi ya Waumini wa Dini ya kiislam wakipata swala kabla ya FUTARI iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma


 Baadhi ya Waumini wa Dini ya kiislam wakipakua FUTARI. Picha kwa hisani ya Blog ya Francis Godwin 

 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka (Picha kwa hisani ya Blog ya Francis Godwin )

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (kushoto) akishiriki katika FUTARI (Picha kwa hisani ya Blog ya Francis Godwin )


 Baadhi ya wageni waalikwa akipata FUTARI

Wageni waalikwa akisikiliza nasaha za Mkuu wa Mkoa (hayupo pichani)







No comments:

Post a Comment