Thursday, February 13, 2014

PICHA ZA UWASILISHAJI WA TAARIFA YA UTEKELEZAJI ILANI YA CCM -MKOA WA SHINYANGA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Ally N.Rufunga akizungumza na waandishi wa Habari katika ukumbi wa mikutano ofisini kwake wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa miezi sita Julai - Juni 2013 na kuhusu kongamano la uwekezaji kanda ya ziwa linalofanyika Mkoani Mwanza kuanzia leo hadi 16 ,kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa Dkt.Anselm Tarimo.





Wakuu wa Sehemu na Vitengo wa Sekretarieti ya Mkoa wa Shinyanga wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa akitoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Julai - Desemba 2013 kwa waandishi wa Habari


Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Dkt.Anselm Tarimo akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kueleza utekelezaji wa Ilani ya CCM na Kongamano la Uwekezaji kanda ya Ziwa

No comments:

Post a Comment