Wednesday, September 7, 2011

SHEREHE YA HARUSI YA BW N BIBI. SAMWELI S. NYAGAWA

 Wenyewe sasa Bw n Bibi. Samweli S. Nyagawa wakiingia ukumbini

Keki ya uhakika shukrani kwa mpambaji 

Mama Harry...! Mama Harry...! Mama Harry...! 

Mwenyewe Neema G. Mwaipopo kama sio wa nchi hii vile!

Bw na Bibi. Jonas Kilima na mtoto wao wakiwa katika tabasamu ukumbini 

Mr n Mrs. Dr. E. Mpuya ambaye pia ni Mkuu wa Kazi wa Bw. Samwel Nyagawa 

Mama Chota na ujumbe wake katika ukumbi wa RUCO kushuhudia sherehe ya harusi ya Sam 


Familia ya Mama Mdemu ikiingia ukumbini 

Mr n Mrs. Prof. S. Nyagawa wakiingia ukumbi wa chuo cha RUCO katika sherehe ya harusi ya kijana wao wa mwisho Samwel Nyagawa 

Bibi. Modesta Kaweni na Bibi Kiula katika sherehe ya harusi ya Sam

Bibi. Kiula, Bibi. Ambrose na Bibi. Chambala wamejiachia katika sherehe ya Harusi ya kijana wao Samwel S. Nyagawa 

Mr n Mrs. Bahati F. Golyama wakijinafasi katika sherehe ya Harusi ya Bw n Bibi. Samwel S. Nyagawa

1 comment:

  1. Aisee hiyo harusi ya kaka Sam ilikuwa bomba usipime.
    Unajua sasa akili zetu zipo kwa kaka Dimosso, hivi kweli anaoa na utaratibu umekaa vipi?

    ReplyDelete