Wednesday, July 24, 2013

TAFRIJA YA KUMPONGEZA LCPL ELIAS ADRIANO MBEGA KWA KUPANDISHWA CHEO



CPL William Kibasa (kushoto) na CPL Richard Mtove (kulia) wakifuatilia matukio ya hafla hiyo.

SGT Felister Maginga (kulia) na PTE Dorah Kibiki (kushoto) wakifuatia matukio ya hafla hiyo.





LCPL Elias Adriano Mbega akiwashukuru Maafisa, Snrnco Maaskari kwa kumuandalia tafrija ya kupandishwa cheo.



COL. SV. Shayo Mshauri wa Mgambo Mkoa wa Iringa akiteta jambo na CPL Goodluck Mwasubila.



LCPL Elias Adriano Mbega akifurahia hafla yake ya kupandishwa cheo.


CGT Felister Maginga akisalimia


CPL. Goodluck Mwasubila akibadilishana mawazo na Afisa Ugavi wa Mkoa Janeth Kitinye.





LCPL Elias Adriano Mbega akibadilishana mawazo na mate wake PTE. Dorah Kibiki.