Monday, October 3, 2011

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (katikati) alipowasili Mavanga Wilayani Ludewa na kupokelewa na viongozi wa Wilaya 

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (Mb.) (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Georgina Bundala katika Kata ya Mavanga 

Wasomi wakisoma shairi kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (Mb.) alipowasili Wilayani Ludewa katika ziara ya utambulisho

No comments:

Post a Comment