Wednesday, November 16, 2011



 

Afisa Utumishi, Gasto Andongwisye (kushoto) na Afisa Ushirika, Shabaan Lubatilla (kulia) walitoa maelekezo katika banda la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa



Baadhi ya maafisa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa wakiweka mambo yao sawa katika banda la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa


 Baadhi ya maafisa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa wakiweka mambo yao sawa katika banda la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

 
 Watumishi katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa katika banda la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

 Mkuiu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma akiwasili katika uwanja wa Samora



 Maandamano yakiingia uwanja wa Samora