Wednesday, August 24, 2011

ZIARA YA MKE WA BALOZI WA MAREKANI MKOANI IRINGA KATIKA PICHA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (kushoto) akiagana na
Meneja wa Hospitali ya Aga Khan-Iringa, Bibi. Veronica James (kulia) nje ya Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma akibadilishana mawazo na Mke wa Balozi wa Marekani nchi Tanzania, Bibi. Jacquiline Lenhardf alipofika kumsalimia Kaimu Mkuu wa Mkoa Ofisi kwake

ZIARA YA MKE WA BALOZI WA MAREKANI MKOANI IRINGA KATIKA PICHA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (kushoto),
Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka (kulia) na
Afisa USAID-Tanzania, Bibi. Ludovica Tarimo (katikati)
katika picha ya pamoja mj ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa