Monday, December 27, 2010



 Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Clement Mshana
akiongea na Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Umma walipotembelea 
kituo cha makao ya watoto yatima cha NURU, nje kidogo ya Jiji la Mbeya


 Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Clement Mshana
akikabidhi zawadi mbalimbali kutoka kwa Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa
Umma katika kituo cha makao ya watoto yatima cha NURU, nje kidogo ya Jiji la Mbeya

 Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Clement Mshana
akikabidhi zawadi mbalimbali kutoka kwa Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa
Umma katika kituo cha makao ya watoto yatima cha NURU, nje kidogo ya Jiji la Mbeya

 Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Clement Mshana
akikabidhi zawadi mbalimbali kutoka kwa Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa
Umma katika kituo cha makao ya watoto yatima cha NURU, nje kidogo ya Jiji la Mbeya

 Neema Mbuja, Afisa Habari wa Shirika la Maendeleo la Taifa
akiwa na mtoto yatima Neema NURU


 Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Umma wakiwa katika
picha na watoto yatima wa kituo cha NURU



 Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Umma wakiwa katika
picha na watoto yatima wa kituo cha NURU



 Maafisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Umma wakiwa katika
picha na watoto yatima wa kituo cha NURU

No comments:

Post a Comment