Wednesday, May 4, 2011

MATUKIO YA MEI DEI KATIKA PICHA

Mgeni rasmi akisalimiana na Kaimu Katibu Tawala Mkoa,Alhaji Adam Swai



Mgen rasmi akisalimiana na Kaimu Katibu Tawala Msaidizi,
Sehemu ya Menejimenti ya Serikali za Mitaa, Sifael Kivamba


Mgeni rasmi akisalimiana na Mkuu wa Itifaki, Bahati Golyama

 Mgeni rami akisalimiana na Katibu Tawala Wilaya ya Iringa, Gideon Mwinami


 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Alhaji Mwamwindi akisalimiana na
Katibu Tawala Wilaya ya Iringa, Gideon Mwinami

 Baadhi ya Wafanyakazi Hodari wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Neema Mwaipopo na Vicent James

Waandamanaji katika MEI DEI


No comments:

Post a Comment