Tuesday, September 13, 2011

MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA SERIKALI MKOANI RUVUMA

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ludovick Utouh akitoa mada wakati wa mkutano wake na viongozi wa serikali mkoani Ruvuma katika ukumbi wa Songea Club.Walio mstari wa mbele ni wakuu wa wilaya za Namtumbo,Mbinga na Songea


Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimaliwatu Humphrey Paya akichangia mada wakati wa mkutano kati ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali uliofanyika leo katika ukumbi wa Songea club Manispaa ya Songea.

No comments:

Post a Comment