Tuesday, July 24, 2012



 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA



MKOA WA IRINGA:
Simu Na.  026 2702191   
Fax    Na. 026 2700310
 
  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,
   S. L. P. 858,

   IRINGA



YAH: MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA TAREHE 25 JULAI, 2012.


Wafanyakazi wote wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na Wananchi wa Manispaa ya Iringa kwa ujumla mnatangaziwa kuwa Tarehe 25 Julai, 2012 kutafanyika Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja wa Bustani ya Manispaa ya Iringa saa 2:00 Asubuhi.

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa atakuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo.
Unatakiwa kuhudhuria katika Maadhimisho hayo muhimu kwa Kudumisha Historia ya Ukombozi wa Nchi yetu.



Imetolewa na:
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa
S.L.P 858
IRINGA


No comments:

Post a Comment