Tuesday, September 20, 2011

MKUU WA MKOA WA IRINGA AWASILI RASMI MKOANI IRINGA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (mwenye suti nyekundu) akizungumza na watumishi waliojitokeza kumlaki

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma (mwenye suti nyekundu) akizungumza na watumishi waliojitokeza kumlaki kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka


 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (mwenye suti nyekundu) akiwasalimia wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa nje ya jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa 

Mhandisi David Mwakalalile ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Kenneth Komba, Afisa Michezo ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Bibi. Hawa Kalolo ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Avelina Ngonyani, Mwangalizi wa Ofisi ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Neema G. Mwaipopo, Afisa Tawala ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Dennis Gondwe, Afisa Habari ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Bibi. Laurencia Mwanga, Katibu Muhtasi ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake


 Joseph Mnyikambi Afisa Elimu Mkoa ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

 Bw. Adam Swai, Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Uchumi na Sekta za Uzalishaji ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

  Bw. Theophil Likangaga, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Huduma za Jamii ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

  Bw. Vicent James, Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Miundombinu  ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake


 Bw. Barnabas Ndunguru, Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Utawala na Rasilimali Watu ni miongoni mwa watumishi waliopata bahati ya kusalimiana ana kwa ana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Dkt. Christine Ishengoma siku ya kwanza ya kuripoti kwake

No comments:

Post a Comment