Monday, August 26, 2013

PICHA ZA MATUKIO YA MKUTANO WA AMANI ULIOANDALIWA NA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (katikati) Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry (kushoto) na Mstahiki Meya wa manispaa ya Iringa Aman Mwamwingi (kulia)

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (katikati) Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry (kushoto) na Mstahiki Meya wa manispaa ya Iringa Aman Mwamwingi (kulia) na Kamanda wa Polisi Mkoa, Afande Mungi
 
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dkt Leticia Warioba (kulia), Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu (katikati) na kiongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya 

 Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dkt Leticia Warioba (kulia), Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Evarista Kalalu (katikati) na kiongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya

 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Gerald Guninita (kushoto)

 Wadau wa amani wakifuatilia mkutano

 Wadau wa amani wakifuatilia mkutano

 Wadau wa amani wakifuatilia mkutano

 Wadau wa amani wakifuatilia mkutano

 Wadau wa amani wakifuatilia mkutano

Ustaadh Rafik akisoma shairi kuhusu Amani

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma akisoma Hotuba



   Amir na mbashiri mkuu wa Jumuiya ya waislamu waahmadiyya Tanznaia, Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry

     Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu akitoa mchango wake kuhusu Amani

              Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi akichangia kuhusu amani

                   Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa, Theresia Mahongo akichangia mkutanoni.

                      Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evarista Kalalu akichangia mada

                Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Gerald Guninita akichangia mkutanoni

No comments:

Post a Comment