Sunday, August 5, 2012

RC IRINGA ALIPOTEMBELEA MABANDA YA 8 8 KATIKA UWANJA WA JOHN MWAKANGALE



 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr. Christine Ishengoma (mwenye sutu ya zambarau) akikagua zana alipotembelea Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Iringa


  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr. Christine Ishengoma (mwenye sutu ya zambarau) akikagua Mambo ya Lishe alipotembelea Banda la Halmashauri ya manispaa ya Iringa


 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr. Christine Ishengoma (mwenye sutu ya zambarau) akipokea maelezo ya Malisho ya Mifugo


 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr. Christine Ishengoma (mwenye sutu ya zambarau) katika picha ya pamoja alipotembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa. 


Mama Kiula ajumuika na wadau katika kutembelea Maonesho ya Nanenane Mbeya

 Banda la Manispaa ya Iringa 

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr. Christine Ishengoma akisaini Kitabu cha Wageni katika banda la Manispaa ya Iringa

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr Christine Ishengoma akibadilishana mawazo na Mjasiliamali jasiri, Genoveva Barnabas

Dr. Ishengoma katika banda la ASAS  

 RC Iringa akikagua banda la Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kulia ni kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa


 Mkuu wa Mkoa wa Iringa  akikagua mabanda ya Maonesho kulia kwake ni Shenal Nyoni

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa akipokea maelekezo katika banda la Halmashauri ya Wilaya Wilaya ya Iringa

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma akisaini Kitabu cha wageni katika banda la Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Dr. Christine Ishengoma akioneshwa note feki na noti halisi za 10,000.

No comments:

Post a Comment