Sunday, December 9, 2012

MATUKIO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA UHURU KATIKA PICHA

 Baadhi ya viongozi walioshiriki maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara kimkoa

 Baadhi ya viongozi na maafisa waandamizi walioshiriki maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara kimkoa katika tarafa ya Mahenge Wilayani Kilolo

  Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Dickolagwa (wapili kushoto) akisaini kitabu cha wageni


 Viongozi wakitafakari kwa kina juu ya miaka 51 ya Uhuru wa tanzania Bara

Ritta Kabati, Mbunge (CCM) Viti Maalum akisaini kitabu cha wageni (kulia) Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Dickolagwa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (katikati) akisaini kitabu cha wageni kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Joseph Muhumba na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Helman Msua (kulia)


Baadji ya wananchi waliojumuika katika maadhimisho ya miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara

No comments:

Post a Comment