Tuesday, October 20, 2015

MATUKIO WAKATI WA KUAPISHWA MKUU WA WILAYA MTEULE YA IRINGA RICHARD KASESELAm

Mhe. Richard Kasesela akisaini kitabu cha wageni

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa

Mkuu wa Utawala Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Scolastica Mlawi (kulia)

Mhe. Richard Kasesela akiapa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Amina Masenza (kulia) akimkabidhi Katiba ya Jamhurir ya Muungano wa Tanzania Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela

Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu (kushoto)

No comments:

Post a Comment