Tuesday, September 18, 2012

WIKI YA NENDA KWA USALAMA KITAIFA IRINGA

 Mwenyekiti wa Baraza la Nenda kwa Usalama Barabarani, Salim Abri na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Gertrude Mpaka (kushoto) wakiwa katika wakati wa furaha ndani ya uwanja wa Samora yanapofanyika maonesho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarari yanayofanyika kitaifa mkoani hapa.


 Maandamano ya wadau mbalimbali wakiingia katika uwanja wa Samora Manispaa ya Iringa kwenye Maonesho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarari yanayofanyika kitaifa mkoani hapa.


 Bendi ikiongoza Maandamano ya wadau mbalimbali kuingia katika uwanja wa Samora Manispaa ya Iringa kwenye Maonesho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarari yanayofanyika kitaifa mkoani hapa.

Picha ya pamoja ya wadau wa Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel Nchimbi (wanne kulia waliokaa) na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma (wa tano kulia waliokaa) katika uwanja wa Samora Manispaa ya Iringa.


No comments:

Post a Comment