Wednesday, May 18, 2011

WIZARA YAANZISHA MPANGO WA KUENDELEA UTALII NCHINI

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeanzisha mpango kamambe wa kuendeleza sekta ya utalii nchini utakaohusisha rasilimali za utalii zilizopo.

Hayo yamesemwa na Deograsias Mdamu, Afisa Utalii Mkuu kutoka Idara ya Utalii, Wizara ya Maliasili na Utalii, wakati akiwasilisha mada juu Sera ya Utalii na Mkakati ya kuendeleza Utalii nchini katika kikao cha Kamati ya Uchauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo leo.

Mdamu amesema “mpango huu ni mkakati unaoelekeza jinsi ya kuendeleza utalii nchini kwa kuzingatia rasilimali za utalii, maendeleo ya mifumo mbalimbali, vivutio vikuu vya utalii, masoko ya utalii, taaluma ya kuhudumia sekta ya utalii, sera, sheria, taratibu na miongozo iliyopo”.

Akifafanua mikakati ya kukuza utalii, Mdamu ameitaja kuwa ni kuendeleza mazao mapya ya utalii, kutafuta masoko mapya na kuimarisha masoko ya zamani pia kuimarisha utafiti katika eneo la utafiti.

Vilevile, kuimarisha ushirikiano wa kiutendaji baina ya Wizara na Taasisi za Serikali zinazohusika na maendeleo ya sekta ya utalii pamoja na kuongeza mapato ya utalii kutokana na leseni za biashara, mikataba ya uwekezaji na kodi.
Mikakati mwingine ameitaja kuwa ni pamoja na kuhimiza ubora wa huduma kwa utalii kama afya, benki, usalama na mawasiliano.

Kuimarisha utekelezaji wa sheria za kazi na haki za binadamu katika sekta ya utalii.
Kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya sekta za uzalishaji wa bidhaa na huduma nyingine zitumikazo na sekta ya utalii na kupanua ushiriki wa sekta hizi katika biashara za utalii.

Afisa Utalii Mkuu, ameongelea pia mtawanyiko wa sekta ya utalii na kusema kuwa sekta hiyo ni kubwa na imetawanyika katika makundi anuai huku kundi kubwa likiwa ni wafanyabiashara wenye mitaji midogo huku kundi dogo sana likiwa ndilo lenye wafanyabiashara wenye mitaji mikubwa.

Aidha, ameupongeza mkoa wa Iringa kwa kuwa na Maafisa Utalii katika Halmashauri zake ukiwa ni mkoa pekee wenye maafisa hao katika kila Halmashauri na kuahidi kuwapa ushirikiano stahiki katika kuiendeleza sekta ya utalii nchini.

Sekta ya utalii huchangia katika kuzalisha ajira, mapato ya fedha za kigeni na maendeleo katika sehemu mbalimbali mijini na vijijini.    

Mil 226 ZATOZWA KWA MAGARI KUZIDISHA UZITO

Zaidi ya shilingi milioni 226 zimelipwa kama tozo la uharibifu wa barabara kwa wakala wa barabara Mkoa wa Iringa kutokana na magari kuzidisha uzito imefahamishwa.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa matengenezo na ukarabati wa barabara kwa mwaka wa fedha 2010/ 2011 kwa kipindi kinachoanzia Julai 2010 hadi Machi, 2011 na mpango wa mwaka wa fedha 2011/ 2012, katika kikao cha Bodi ya barabara Mkoa wa Iringa, Meneja wa wakala wa barabara (Tanroads) Mkoa wa Iringa, Mhandisi Paul Lyakurwa amesema katika kipindi cha Julai, 2010 hadi Machi, 2011 magari yaliyopimwa katika mizani isiyohamishika iliyopo katika mji mdogo wa Makambako ni 19,104 na kati ya magari hayo magari 2,494 (sawa na asilimia 13) yalizidisha uzito na kulipishwa tozo la uharibifu wa barabara kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Barabara Na. 30 ya mwaka 1973 na Kanuni zake za mwaka 2001 ambapo jumla ya shilingi milioni 226.582 zililipwa .

Meneja wa wakala wa barabara mkoani hapa amekemea vikali tabia inayoendelea kila kukicha ya matumizi mabaya ya hifadhi ya barabara kwa baadhi ya wananchi kuendea kufanya shughuli mbalimbali zikiwemo za kilimo na biashara ndani ya hifadhi ya barabara jambo linalosababisha kuziba kwa mifereji na makalavati na kusababisha maji kutuama barabarani na kusababisha harufu mbaya na magonjwa ya mlipuko. 

Baadhi ya Wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Iringa 


Baadhi ya Wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Iringa 

Aidha, amesema kuwa ofisi ya meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Iringa inalo jukumu la kudhibiti uzito wa magari barabarani kwa kutumia mizani isiyohamishika iliyopo katika mji mdogo wa Makambako, Wilayani Njombe.
AHADI ZA DR. JK ZAANZA KUTEKELEZWA NA TANROADS IRINGA

Ofisi ya Meneja wa Wakala wa Barabara Mkoa wa Iringa (TANROADS) imeanza utekelezaji wa ahadi za Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010 kuhusu sekta ya barabara mkoani hapa.

Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Iringa,
Mhandisi Paul Lyakurwa

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ahadi hizo katika kikao cha Bodi ya Barabara ya mkoa wa Iringa kilichofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo, meneja wa wakala wa barabara (TANROADS), Mhandisi Paul Lyakurwa amesema ujenzi wa barabara ya Iringa-Mtera-Dodoma yenye urefu wa Km 260 kwa kiwango cha lami umeanza.

Amesema utekelezaji wa mradi huo umegawanyika katika sehemu tatu za Iringa-Migoli (Km 95.2), Migoli- Fufu (Km 93.2) na Fufu- Dodoma (Km70.9).
Aidha, mkataba kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Iringa-Migoli (95.2)  ulisainiwa tarehe 13 Januari, 2011 kati ya TANROADS na Mkandarasi M/S China Sichuan International Cooperation Co. Ltd kwa gharama ya Tshs. 84,216,378,355.50 wakati muda wa kukamilisha kazi ni miezi 35. Sehemu ya Migoli-Fufu (93.2) mkataba ulisainiwa tarehe 13 Januari, 2011 kati ya TANROADS na Mkandarasi M/S China Sichuan International Cooperation Co. Ltd kwa gharama ya Tshs. 73,612,329,958.67 wakati muda wa kumaliza kazi ni miezi 35. Sehemu ya Fufu-Dodoma (Km 70.9) mkataba ulisainiwa tarehe 13 Januari, 2011 kati ya TANROADS na Mkandarasi M/S China Communication Construction Co. Ltd kwa gharama ya Tshs. 64,327,389,129 wakati muda wa kukamilisha kazi ni miezi 27 na mkandarasi anaendelea na ujenzi wa kambi.

Kuhusu kukamilisha ujenzi wa barabara ya Njombe- Makete yenye urefu (Km 109) kwa kiwango cha lami, Meneja wa TANROADS amesema kuwa ujenzi wa Km 9.5 kati ya Mang’oto na Tandala ndani ya Wilaya ya Makete umekamilika. Aidha, ujenzi wa Km 2 maeneo ya Mang’oto unaendelea na unatarajia kukamilika ndani ya mwaka wa fedha 2010/2011.

   Aseri Msangi, Mwenyekiti (wa pili kulia), Gertrude Mpaka, Katibu (wa pili kushoto), Dr. Binilith Mahenge, Makamu Mwenyekiti (wa kwanza kulia) na Deo Sanga, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa (wa kwanza kushoto)

Akiongelea mpango uliopo kwa mwaka 2011/ 2012 Meneja huyo ameutaja kuwa ni kufanya upembuzi yakinifu, usanifu pamoja na kuandaa makabrasha ya zabuni kwa ajili ya ujenzi wa barabara yote kwa kiwango cha lami kama fedha zitapatikana.

Kuhusu maeneo korofi amesema yataendelea kuimarishwa kwa changarawe ili barabara iendelee kupitika kipindi chote cha mwaka.

Wednesday, May 4, 2011

PONGEZI KWA VYOMBO VYA HABARI IRINGA



Vyombo vya habari vya Mkoa wa Iringa vimepongezwa kwa jitihada kubwa vinazozifanya za kuhamasisha michezo Mkoani hapa hususani mpira wa miguu.
Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Bibi. Gertrude Mpaka wakati akipokea shilingi 1,500,000 fedha taslimu zikiwa ni ufadhili wa kampuni ya bia Tanzania (TBL) kwa timu ya Mkoa wa Iringa katika mashindano ya Kili Taifa Cup mwaka 2011 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo.
Mwakilisi wa TBL Mkoani Iringa, Masumbuko John Changwe (katikati) akimkabidhi 
Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Gertrude Mpaka (kulia) Tshs. 1,500,000 za ufadhili
wa timu ya Mkoa wa Iringa, kushoto ni Afisa Michezo Mkoa Keneth Komba
akishuhudia tukio hilo.

Akitoa shukrani hizo Bibi. Mpaka amesema “nawashukuru sana kampuni ya bia Tanzania kwa mchango wenu wa fedha na vyombo vya habari kwa jitihada kubwa za kuhamasisha michezo na kuutangaza Mkoa wa Iringa”.
Katibu Tawala Mkoa wa Iringa ambaye ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya Mkoa amewaasa wanamichezo wanaouwakilisha Mkoa wa Iringa katika mashindano ya Kili Taifa Cup kuzingatia nidhamu ya hali ya juu ili waweze kuuletea Mkoa ushindi na heshima kubwa.
Bibi. Mpaka amesema kuwa Serikali inathamini sana michezo na kukuza vipaji vya wanamichezo nchini na kutokana na umuhimu huo ndio maana Serikali imerudisha michezo ya UMITASHUMTA na UMISETA shuleni.
Awali akitoa maelezo kabla ya kukabidhi fedha za ufadhili wa TBL, mwakilishi wa TBL Mkoani Iringa, Masumbuko John Changwe amesema kuwa kampuni ya bia nchini inamalengo ya kuinua vipaji vya wanamichezo vijana nchini na kuwapatia ajira kupitia michezo.
Aidha, amekemea vikali vitendo visivyo vya kimichezo vya kuwapiga waamuzi na matumizi ya lugha ya matusi kwa wanamichezo. Vilevile amesisitiza kuwepo kwa mfumo mzuri wa kupata timu ya Mkoa iliyo bora kwa kuwashirikisha wadau wote ili timu ya Mkoa iwe na sura ya kimkoa.       
 Nae Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoani hapa Eliud Mvella amesemakuwa changamoto iliyopo ni udhamini ambapo amesema kuwa chama chake kipo mbioni kufanya maongezi na kampuni ya bia Tanzania ili waongeze wigo wa fedha katika udhamini wao.
Timu ya mpira wa miguu ya Mkoa wa Iringa itaondoka kesho tarehe 5 Mkoani hapa kuelekea kuelekea Mkoani Mbeya ambapo inajiwinda kufungua dimba na timu ya Mkoa wa Mbeya hapo tarehe 7 Mei, 2011.

MATUKIO YA MEI DEI KATIKA PICHA

Mgeni rasmi akisalimiana na Kaimu Katibu Tawala Mkoa,Alhaji Adam Swai



Mgen rasmi akisalimiana na Kaimu Katibu Tawala Msaidizi,
Sehemu ya Menejimenti ya Serikali za Mitaa, Sifael Kivamba


Mgeni rasmi akisalimiana na Mkuu wa Itifaki, Bahati Golyama

 Mgeni rami akisalimiana na Katibu Tawala Wilaya ya Iringa, Gideon Mwinami


 Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Alhaji Mwamwindi akisalimiana na
Katibu Tawala Wilaya ya Iringa, Gideon Mwinami

 Baadhi ya Wafanyakazi Hodari wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Neema Mwaipopo na Vicent James

Waandamanaji katika MEI DEI

...Zingatieni kanuni za kazi
Waajiri wametakiwa kuzingatia misingi na kanuni za kazi ili kuweza kuondoa migogoro inayoweza kujitokeza kwa kukiukwaji huo mahala pa kazi.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evarista Kalalu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi iliyofanyika kimkoa Wilayani Mufindi leo.


Kaimu Mwenyekiti wa TUCTA Mkoa (kushoto), Mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa katika maadhimisho ya Meimosi, Evarista Kalalu (katikati) na kuu wa Wilaya ya Ludewa, Georgina Budala (kulia)

Kaimu Mwenyekiti wa TUCTA Mkoa (kushoto), Mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa katika maadhimisho ya Meimosi, Evarista Kalalu (katikati) na kuu wa Wilaya ya Ludewa, Georgina Budala (kulia)

Kalalu amesema “ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima mahala pa kazi waajiri wote wafanye kazi kwa kufuata misingi ya Sheria na Kanuni za kazi”. Mfanyakazi anawajibu wa kuipenda kazi yake lakini kero za kikazi zinapokuwa nyingi humfanya mfanyakazi kuichukia na ufanisi wa kazi yake kupungua. “Naomba sana tujitahidi kupunguza kero kwa wafanyakazi wetu na ikibidi tuwape motisha ambazo zitawafanya wafanye kazi kwa bidii” amesisitiza Kalalu.

Mkuu huyo wa Wilaya ya Mufindi amewata waajiri kuwa makini wanaposhughulikia utatuzi wa kezo za wananchi kuzingatia makundi yote husika. Amesema kutokufanya hivyo kunaweza kujenga mianya ya kutengeneza makundi baina ya wafanyakazi na badala ya kutatua kezo husika kujikuta wanatengeneza kero na migogoro mingine ambayo ingeweza kuepukika.
  
Aidha, amewataka waajiri kutenga  muda wa kukaa na waajiriwa wao ili kujadili masuala mbalimbali ya kazi na matatizo yanayojitokeza ili yamalizwe kwa njia ya mazungumzo.

Awali akisoma risala ya wafanyakazi wa Mkoa wa Iringa, Mratibu wa TUCTA Mkoa, Khatibu Juma Baweni amesema kuwa wafanyakazi wanawajibu wa kufanya kazi kwa bidii na kuongeza tija katika jitihada za kuongeza pato la taifa. Amesema “kila mtu akitimiza wajbu wake hapatakuwa na malalamiko baina ya wafanyakazi na waajiri” amesisitiza Baweni. Aidha, amesisitiza kilio cha wafanyakazi dhidi ya kupanda kwa bei ya umeme, mafuta na bidhaa nyingine jambo lisiloenda sanjali na upandaji wa mishahara ya wafanyakazi jambo linalomdidimiza mfanyakazi kiuchumi.

Maadhimisho haya ya siku ya wafanyakazi duniani maarufu kama Mei Mosi ni kumbukumbu ya mapambano ya wafanyakazi ya kujikomboa yaliyoanzia Ulaya na Marekani ya Kaskazini katika karne ya 18 na 19 kutoka katika ukandamizaji na unyonyaji wa waajili kutokana na ukuaji wa viwanda.   







Monday, March 14, 2011


SOMA, Japan – Radiation is spewing from damaged reactors at a crippled nuclear power plant in tsunami-ravaged northeastern Japan in a dramatic escalation of the 4-day-old catastrophe. The prime minister has warned residents to stay inside or risk getting radiation sickness.

Chief Cabinet Secretary Yukio Edano said Tuesday that a fourth reactor at the Fukushima Dai-ichi complex was on fire and that more radiation was released
Prime Minister Naoto Kan warned that there are dangers of more leaks and told people living within 19 miles (30 kilometers) of the Fukushima Dai-ichi complex stay indoors.

Nuclear Power Plant

THIS IS A BREAKING NEWS UPDATE. Check back soon for further information. AP's earlier story is below.
TOKYO (AP) — Japan's nuclear safety agency said an explosion Tuesday at an earthquake-damaged nuclear power plant may have damaged a reactor's containment vessel and that a radiation leak is feared.

The nuclear core of Unit 2 of the Fukushima Dai-ichi nuclear plant in northeast Japan was undamaged, said a spokesman for the Nuclear and Industrial Safety Agency, Shigekazu Omukai.

The agency suspects the explosion early Tuesday may have damaged the reactor's suppression chamber, a water-filled tube at the bottom of the container that surrounds the nuclear core, said another agency spokesman, Shinji Kinjo. He said that chamber is part of the container wall, so damage to it could allow radiation to escape.

"A leak of nuclear material is feared," said another agency spokesman, Shinji Kinjo. He said the agency had no details of possible damage to the chamber.
Radiation levels measured at the front gate of the Dai-ichi plant spiked following Tuesday's explosion, Kinjo said.

Detectors showed 11,900 microsieverts of radiation three hours after the blast, up from just 73 microsieverts beforehand, Kinjo said. He said there was no immediate health risk because the higher measurement was less radiation that a person receives from an X-ray. He said experts would worry about health risks if levels exceed 100,000 microsieverts.

Picha ya chini ni Mripuko kwenye viwanda mjini Sendai
Mripuko kwenye viwanda mjini SendaiBildunterschrift:
 

Japanese ordered indoors in radiation leak crisis

Thursday, March 10, 2011

...UKOMBOZI WA MWANAMKE!

Ukombozi wa mwanamke ni suala mtambuka katika jamii na unalenga kumuwezesha mwanamke katika kulea familia yake katika misingi ya haki na usawa wa kijinsia.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Gertrude Mpaka, aliyekuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa Wilayani Njombe.

Mpaka amesema “jukumu la kumkomboa mwanamke si jukumu la Serikali peke yake bali linamgusa kila mwanajamii katika nafasi yake”. Amesema jukumu la mwanamke kama mzazi ni kuilea familia yake katika misingi ya haki na usawawa kijinsia. Aidha, amewataka wanansiasa na viongozi wa dini kuhubiri haki na usawa wa kijinsia kwa wananchi katika ujumla wao.

 Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Gertrude Mpaka (kulia) akosoma Hotuba yake wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa Wilayani Njombe, kushoto ni Katibu Tawala Wilaya ya Njombe, Evergrey Keiya aliyeshika kipaza sauti

Katibu Tawala Mkoa ameyataja maeneo manne ya utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Beijing China uliofanyika mwaka 1995 ambayo Tanzania imeyachagua kuyatekeleza kama vipaumbele kutokana na uchache wa rasilimali zilizopo kuwa ni pamoja na kujenga mazingira ya usawa katika elimu na ajira, kuwawezesha wanawake kutambua haki zao kisheria. Eneo lingine ni kuwajengea uwezo wanawake wa kushiriki masuala kisiasa na kufanya maamuzi na pia kuwajengea wanawake uwezo kiuchumi ili waweze kuondokana na umasikini.

Akiongelewa eneo la kumuwezesha mwanamke kutambua haki zao kisheria, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Iringa, Menrad Dimosso amesema kuwa katika kipindi cha mwaka 2010/ 2011 jumla ya wanawake 3,756 wa mkoani Iringa walipatiwa mafunzo juu ya Sheria ya Ardhi ya Mwaka 1999, Sera ya Wanawake, Sheria ya Mirathi,, Haki za Binadamu na Sheria ya Ndoa. Ameendelea kusema kuwa Sekta ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto mkoani hapa imejipanga kuendelea na zoezi hilo kwa lengo la kuwajengea uwezo wanawake wengi zaidi kutambua haki zao kisheria.

Maazimisho hayo yanaongozwa na kauli mbiu isemayo ‘fursa sawa katika elimu, mafunzo, sayansi na teknolojia; njia ya wanawake kupata ajira bora’.

...Kuumana sikio kwa akina mama ni Sunna!

Pamoja tutafika...


..Tumewakilisha...


Nyomi ya waliohudhuria maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani

..kwa itifaki.

...kisemeo ndio nyumbani kwangu

Wanawake wa shoka wakitafakari siku ya wanawake Duniani.

Mgeni rasmi, Bibi. Gertrude Mpaka akizungumza na akina mama katika
maadhimisho ya siku wanawake Duniani

Bibi. Gertrude Mpaka akipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
Halmashauri ya Wilaya ya Njombe, Bw. Mohamed Mkupete wakati
akikagua mabanda ya maonesho


Bibi. Gertrude Mpaka akisalimiana na Waheshimiwa Madiwani wa Njombe



Burudani hazikuwa nyuma katika maadhimisho hayo



Bw. Bosco Ndunguru, Mkurugenzi Mtendaji H/W Kilolo (kushoto),
George Lukindo Mkurugenzi wa Mji Njombe (katikati) na Mohamed Mkupete,
Mkurugenzi Mtendaji H/W Njombe wakionesha ujirani mwema.

Wednesday, March 9, 2011



After a first half dominated by FC Barcelona, capped off by a late Lionel Messi goal, Arsenal FC appeared as if they had their work cut out for them in the second half. The Blaugranas were in control of their UEFA Champions League tie, but a huge Barca mistake made things very interesting, very quickly.

In the 52nd minute, Sergio Busquets scored an own goal to level the match at 1-1 on the day, giving Arsenal a 3-2 advantage on aggregate. On a corner kick, a lunging Johan Djourou missed a ball that fell to a cluster of three Barcelona defenders, with no Arsenal player challenging. Despite this, Busquets attempted a risky clearance and headed the ball straight into the back of the net, almost as if he was trying to score. The announcers, the home crowd, and even the Arsenal players were left stunned.

View Image
LIONEL MESSI

It appeared that Barcelona were going to respond instantly, but Manuel Almunia made his first of many brilliant saves of the second half in the 53rd minute. As David Villa surged into the box onto a through ball, Almunia rushed out and made a stop, taking an accidental kick to the face from Djourou in the process.
The 55th minute saw the true turning point in the match, and it was an extremely controversial one. Robin Van Persie, running onto a through ball, was flagged for offside. However, he was unaware of the flag and failed to hear the whistle over the Camp Nou crowd. Van Persie took a shot, which the referee declared to be time wasting, and showed Van Persie a second yellow card to take Arsenal down to ten men. Replays show that under two seconds elapsed between the whistle and Van Persie taking his shot.

At this point, with no defending to worry about, Barcelona amped up the pressure and begin to dominate the game to an even more extreme extent than they did in the first 55 minutes. Almunia made yet another brilliant save in the 57th, once again denying David Villa. He would make another incredible save, again on Villa, in the 67th minute.

The goal that was always coming was scored in the 68th minute, and this time, Almunia had absolutely no chance to do anything about it. Villa played a brilliant give and go in the center of the pitch, eventually resulting in Xavi having the ball at his feet in the center of the box. The central midfielder finished calmly, and Barcelona had their aggregate equalizer. After 68 minutes, the teams were level at 3-3 with one away goal each.

Arsenal could only hold on to a level tie for another three minutes, as their fate would be all but sealed in the 71st minute. With Pedro making a surging run into the box with the ball, he was taken down by Laurent Koscielny, leading the referee to grant a penalty to the Blaugranas. It was a stone cold penalty and a no-brainer for the official. Lionel Messi stepped up and converted, and Barcelona had their lead.

It looked from then on like Arsenal had no change to come back and that Barcelona would expand their lead, but going into the 87th minute, the score still stood at 4-3 on aggregate. In the moment of the match, Adriano gave the ball away to Jack Wilshere in his own half. Wilshere ran forward with the ball and played a fantastic centering pass into the path of substitute Nicolas Bendtner, who had every opportunity to score. Instead, the Dane took a terrible first touch, allowing Daniel Alves to push him off the ball and Victor Valdes to jump on top of it. It could have been the winner and the defining goal of the season for Arsenal, but instead, Bendtner's miss put a pit in the stomach of Arsenal supporters.

The match would end with a 3-1 Barcelona win, giving them a 4-3 win on aggregate. Though Bendtner should have scored to put Arsenal through, that result would have been extremely harsh on a dominant Barcelona team. They managed 76% possession to Arsenal's 24%, 717 completed passes to Arsenal's 195, and amazingly, 20 shots to Arsenal's zero.

Monday, March 7, 2011

Serikali imewekeza zaidi ya shilingi Bilioni 21 kwa lengo la kuboresha sekta ya kilimo ili kiwe chenye tija na kuchangia zaidi katika pato la taifa mkoani Iringa.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kanali Mstaafu, Issa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo.
Kanali Machibya amesema “Mkoa wa Iringa umepokea vocha za pembejeo za kilimo mbegu bora, mbolea ya kupandia na kukuzia zenye thamani ya shilingi Bilioni 21.6”. Ameelezea lengo la serikali kuwa ni kuboresha kilimo ili kiwe cha kisasa na chenye tija ili kichangie zaidi katika pato la Taifa.

Machibya hakusita kukemea vikali ukiukwaji wa taratibu na maadili katika zoezi la usambazaji wa vocha za pembejeo hali inayosababisha ucheleweshaji wa kilimo. Aidha, amewataka watendaji wote kuwajibika katika usimamizi na uratibu ili kuhakikisha wizi wa vocha za mbolea na mbegu na ukiukwaji wa tarabitu vitokomee.

Akielezea Mkoa ulivyojipanga kukabiliana na changamoto hizo, Katibu Tawala Msaidizi, Sehemu ya Sekta ya Uzalishaji Mali wa Sekretarieti ya Mkoa, Adam Swai amesema kuwa Wilaya zimeagiza wataalam wa kilimo katika ngazi zote kufuatilia zoezi la vocha pindi wanapofuatilia shughuli mbalimbali za kilimo vijijini.

Ameutaja mkakati mwingine kuwa ni muongozo wa utaratibu wa usambazaji wa ruzuku umefikishwa katika Halmashauri zote na waratibu wa pembejeo ngazi ya Mkoa na Halmashauri wametoa mfumo madhubuti wa mawasiliano ili kurahisisha uratibu wa zoezi hilo.  

Mkoa wa Iringa ni miongoni mwa mikoa 20 (wilaya 87) inayotekeleza mpango wa Taifa wa kutoa ruzuku za pembejeo za kilimo yaani mbegu bora, mbolea ya kupandia na kukuzia. Aidha, mkoa una jumla ya 514 wanaosambaza pembejeo za kilimo. Vocha za ruzuku ya pembejeo za kilimo zilizotolewa na Serikali kwa mkoa wa Iringa ni vocha za kutosha Kaya 336,635 (sawa na vocha 1,009,905 kwa ujumla wa nakala moja moja ya vocha) na vocha hizi zinatosheleza ekari 336,635 kwa kufuata mwongozo wa ruzuku ya mbolea ya kupandia, mbegu na mbolea ya kukuzia kwa ekari moja kila mkulima.

Halmashauri za Mkoa wa Iringa zimetakiwa kutoa kipaumbele katika shughuli za uboreshaji wa usafi wa mazingira kwa kuongeza ajira na bajeti isiyo chini ya asilimia 30 ya bajeti ya afya.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Afya wa Sekretarieti ya Mkoa wa Iringa, Theophil Likangaga wakati akiwasilisha mada juu ya Tuzo mashindano ya Afya na usafi wa Mazingira katika Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa SIasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Katika kufikia mafanikio endelevu ya usafi wa wa mazingira katika Mkoa wa Iringa ni vizuri kwa “uongozi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Iringa kutoa kipaumbele katika shughuli za uboreshaji wa usafi wa mazingira kwa kuongeza ajira na bajeti angalau isiwe chini ya asilimia 30 ya bajeti yote ya idara ya Afya” alisisitiza Likangaga.

Aidha, alizisisitiza Halmashauri kuifanyia marekebisho mipango mikakati yao ya udhibiti wa taka ngumu na taka maji. Akiongelea changamoto zilizopo katika Afya na Usafi wa Mazingira, Afisa Afya huyo alizitaja kuwa ni pamoja na upungufu wa watumishi hasa maafisa Afya akitolea takwimu kuwa Katika Halmashauri za Mkoa wa Iringa zinaupungufu unaofikia asilimia 50 ya mahitaji. Changamoto nyingine ameitaja kuwa ni bajeti ndogo inayotengwa kwa shughuli za usafi wa mazingira ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ndiyo yenye bajeti ya asilimia 30 na Halmashauri nyingine zikiwa zimetenga chini ya asilimia 15. Changamoto nyingine ameitaja kuwa ni ongezeko la ujenzo holela wa makazi ya watu ambao hauendani na Sera ya Mipango Miji na kuifanya sekya ya Afya kushindwa kutoa huduma kamilifu katika maeneo yao.

Likangaga alizipongeza Halmashauri zilizoshinda katika mashindano hayo kitaifa na kuzitaja kuwa Manispaa ya Iringa ilikuwa mshindi wa pili kwa miaka mitatu mfululizo tokea mwaka 2008-2010. Mwaka 2010 Halmashauri tatu zilishiriki ambapo Njombe Mji ilikuwa mshindi wa kwanza, Halmashauri ya Wilaya Njombe mshindi wa kwanza na Manispaa ya Iringa mshindi wa pili.

Mashindano haya yalianza mwaka 2003 ambapo Halmashauri za Manispaa 12 na Jiji moja zilishiriki kama njia mojawapo ya kuhamasisha jamii juu ya umuhimu wa kuimarisha shughuli za usafi wa mazingira. Aidha, kuanzia mwaka 2005 mashindano haya yamekuwa yakijumuisha Halmashauri zote nchini.

Hat-trick hero Dirk sinks United

6th Mar 2011 - Latest News
Dirk Kuyt netted a superb hat-trick as a rampant Liverpool defeated Manchester United 3-1 on Sunday afternoon.
The Dutch forward became the first Reds player to complete a treble in the fixture since Peter Beardsley back in 1990 as Kenny Dalglish's men put their old rivals to the sword.
Dirk Kuyt

Dirk Kuyt

The hosts dominated throughout a fiery clash in L4 and they took the lead on 35 minutes when Kuyt touched home from close range after some sublime approach play by Luis Suarez.

The No.18 was revelling in his role alongside the Uruguayan and doubled his tally just moments later when he took advantage of a Nani error to thump a header beyond Edwin Van der Sar.

The Reds maintained control of the proceedings after the interval and Kuyt capped what will go down as a career highlight when he showed great awareness to follow up Suarez's free-kick and fire in the rebound following a fumble from the United stopper.

The visitors did pull a goal back through substitute Javier Hernandez deep into stoppage time but it was a mere consolation on a day that belonged to the red half of Merseyside.

The victory means Liverpool move back into sixth place in the Barclays Premier League standings, six points adrift of Chelsea.

Ahead of one of English football's most anticipated encounters Dalglish made two changes from the side that lost at West Ham.

In came Fabio Aurelio at left-back while Maxi Rodriguez was tasked with patrolling the wide berth just in front of the Brazilian.

A buzz reverberated around Anfield as the news filtered through that record signing Andy Carroll was on the bench and Kopites would have also been relishing another chance to see Suarez from the start.

In the lead up to the match the Uruguayan had spoken of his desire to score against the Red Devils and he could have realised his dream inside two minutes.

A low ball into the box from Raul Meireles weaved its way into the No.7's path but his first touch failed him and Edwin Van der Sar was able to collect.
The Reds certainly had the edge in the early stages and after Maxi Rodriguez dragged a 20 yarder off target Suarez had another effort on goal - but this time he volleyed high into the
Anfield Road
end.


As the half wore on the visitors began to settle and Dimitar Berbatov came within a whisker of opening the scoring with a curling volley that clipped the outside of Pepe Reina's right-hand post.

It was shaping into an enjoyable contest for the spectator and the hosts continued to ask questions of United's makeshift central defensive partnership of Wes Brown and Chris Smalling.

A searching ball from the right by Maxi Rodriguez found the well-timed run of Raul Meireles who looped a header back across goal that Kuyt came within inches of touching beyond Van der Sar.

Dalglish would have been more than happy by what he had seen from his side in the opening 20 minutes but he was forced to make a change soon after when Fabio Aurelio pulled up with a muscle injury.

It resulted in a defensive reshuffle that saw Glen Johnson move to left-back, with Jamie Carragher on the right and Sotirios Kyrgiakos coming off the bench to partner Martin Skrtel in the centre.

It wasn't the ideal scenario for the Reds and they were almost undone just seconds after the substitution as Meireles hacked a Brown header off the line following a left-wing corner.

The arrival of the Greek did add an extra dimension to Liverpool's set piece threat however, and it was his aerial presence that caused the panic in United's defence that led to a free-kick in a dangerous position on 32 minutes.
Both Suarez and Steven Gerrard sized up the opportunity before the Uruguayan teed his skipper up to guide a cheeky, low effort towards goal that was fortuitously deflected to safety.

The energy and endeavour of Liverpool's new No.7 has made him an instant Kop favourite and he further enhanced his reputation on 35 minutes when he created the opening goal.

The former Ajax man picked the ball up on the left side of the visitors' penalty area and led three United defenders a merry dance with some exquisite close control before slipping a shot across the face of goal that Kuyt was on hand to gleefully smash home.

It was no more than the home team deserved for a spirited first-half showing and within four minutes they had doubled their advantage.
Again Suarez was involved. The forward broke into space on the right side of the area and sent a searching cross to the far post. Nani arrived to try and cut out the danger but inadvertently sent a header back across his own six yard box, allowing Kuyt to stoop and nod home the simplest of goals.
It had been an action-packed first 45 and as it edged to a close the passion and commitment of both sides threatened to boil over.
First, a melee ensued after a Carragher challenge left Nani injured before Rafael escaped with just a caution following a dangerous tackle on Lucas Leiva.

There was certainly more than enough for the sell-out crowd to discuss over the half-time brew and the majority of them would have been delighted to see Liverpool begin the second period in the ascendancy.
The ever-dangerous Suarez was at the forefront of it all, expertly juggling the ball into the feet of Meireles whose cut back was bravely gathered by Van der Sar as Gerrard looked to pounce.

Dalglish and co would have expected the league leaders to pose more of a threat as they pushed for a way back into the game and on 58 minutes they almost reduced the arrears.

A right-wing corner caused problems in the Liverpool area and when the ball was headed back across goal, Meireles was once again forced to clear from underneath his own crossbar from a Berbatov header.
Next, Ryan Giggs had a chance to mark the day he became the away side's all-time record appearance holder but he curled his 25 yard free-kick over the top.

As United pressed there was always a chance the Reds could expose the gaps in their defence and Meireles saw his shot from a tight angle palmed back into the danger area by Van der Sar but there was no-one in support to tap home the rebound.

It was a let-off for the United stopper, but he wasn't so lucky on 65 minutes when Liverpool snatched the all-important third goal of the afternoon.
Suarez fizzed a devilish free-kick towards the right-hand corner and when the ball squirmed from Van der Sar's grasp, Kuyt was on hand to complete a memorable hat-trick in front of the Kop.

It was rapidly turning into the perfect day for the Reds and on 74 minutes it got even better when Andy Carroll replaced Meireles to make his long awaited debut.
The No.9 almost turned instant provider too, nodding a cross back into the path of Kuyt who crashed a long range shot just over.
The Anfield faithful were taking great delight in goading their old rivals and a chorus of 'Happy Birthday' from the Kop would have had Alex Ferguson shifting uncomfortably in his seat, as the home side had reached such a level of comfort that they could treat Dalglish to a belated sing-song in celebration of his 60th.

It could have been even more emphatic too, but Maxi miskicked from 18 yards while Gerrard's side footer flew inches off target.
The away team had done little to trouble Reina despite some decent spells of possession but they did pull one back deep into stoppage time when Hernandez headed home.
http://www.liverpoolfc.tv/